BREAKING NEWS: Waziri wa Elimu wa zamani, Joseph Mungai amefariki Dunia
Aliyewahi
kuwa Waziri wa Elimu Tanzania, Joseph Mungai amefariki dunia jioni hii,
taarifa za awali kwa mujibu wa kituo cha television cha ITV zinasema
amekutwa na umauti baada ya kuanza kutapika mfululizo, familia imedia
kuwa tatizo hilo limemkuta baada ya kudaiwa kula kitu kibaya.
millardayo.com & Ayo TV zinaendelea kufatilia taarifa zaidi kuhusu msiba huo. R.I.P Joseph Mungai. Taarifa hii ni kwahisani ya Millard Ayo
No comments