Mahakama Kuu yatoa maamuzi juu ya Ubunge wa Ester Bulaya
Leo
November 16, 2016 Kesi ya kupinga matokeo ya Ubunge wa Ester Bulaya
iliyofunguliwa na wapiga kura wa jimbo la Bunda dhidi ya aliyekua
mgombea wa CCM Stephen Wasira imetolewa huku yake ambapo Mahakamu Kuu
imempa ushindi na kumthibitisha Ester Bulaya kuwa Mbunge halali.
Maamuzi
hayo yametolewa na Jaji Noel Chocha wa Mahakama Kuu Kanda ya Mbeya
kwenye hukumu ya kesi iliyosomwa kwa takribani masaa manne huku Jaji
huyo akiyataja mapungufu yaliyopelekea kuona kesi hiyo haina msingi
ikiwemo kupungua kwa wafungua mashtaka kutoka 12 mpaka kubakia wawili.
source: Millard Ayo
No comments