Pichaz 5 za Francis Cheka alivyopeleka mkanda wake wa ubingwa kwa waziri Nape
March 4 waziri wa habari, utamaduni, sanaa na michezo Nape Nnauye kwa pamoja na bondia mtanzania Francis Cheka
walifanya mkutano na waandishi wa habari katika ukumbi wa mikutano
wizarani na Cheka kuwashukuru watanzania na serikali kwa sapoti
anayopata.
Baada ya Cheka kushukuru na kumkabidhi Mh Nape mkanda wake wa Ubingwa aliompiga bondia wa Serbia Geard Ajetovic katika viwanja vya Leaders, mwishoni mwa mwezi February, Mh Nape alimkabidhi cheti Francis Cheka kwa niaba ya wizara.
No comments