Tupashane Habari 24-hours

Tupashane Habari 24-hours

Breaking News

kampa kampa tena

Picha 10 kutoka Arusha, Rais Magufuli kwenye magwanda ya kijeshi…



Stori kuhusu safari ya kwanza ya Rais Magufuli kwenda Arusha kwa mara ya kwanza tangu amekuwa Rais najua tayari watu wengi tunayo kwa sababu hiyo ilikuwa ni jana January 22 2016.
Hiyo inakuwa safari ya tatu mtu wangu, nakumbuka aliwahi kwenda Dodoma kwenye ufunguzi wa Bunge mwisho wa mwaka 2015, alafu akaenda Zanzibar kwenye sherehe za Mapinduzi January 2015, Arusha ni safari yake ya tatu nje ya Dar !!
Hizi hapa pichaz zake akiwa kwenye sare za kijeshi, ziara yake Arusha inahusu pia shughuli ya kuwatunuku Kamisheni ya Uofisa Maofisa wateule wa Jeshi katika Chuo cha Kijeshi TMA, Monduli.
2e52f8b0-96d7-4b8f-b69b-39585878cbd7 4c31050d-0781-4335-83d8-47b24bdc0e75 7c9f31f9-7fb3-4922-98c2-4b54d64fe590 11d4fd9d-58a5-4791-94d8-84093d4f1a79 35be0755-e09f-4c6e-b11c-3fef1e8f601d
523d128b-7f63-472c-aa30-ec7a9b19e445 7960dd7c-bcf7-4a9f-9c4f-cb70fffcaee8 c785e8d5-31d5-49ff-8bfa-2af461189cc3 f7368cd1-2f99-4f8a-b8d2-c37b62ed1bc1

No comments