Tupashane Habari 24-hours

Tupashane Habari 24-hours

Breaking News

kampa kampa tena

Kama umepanga kusafiri sikukuu, nina picha 20 na kinachoendelea stendi ya mabasi Ubungo

 

Ikiwa tuanelekea mwishoni mwa mwaka 2015, kuna mengi yanakuwa yakiendelea katika msimu huu ambapo pia baadhi ya watu hupendelea kwenda makwao kwaajili ya kuwasabahi ndugu na jamaa. Lakini hali imekuwa tofauti kidogo leo Dec 23 2015 katika kituo cha mabasi Ubungo Terminal Dar es salaam mara baada ya baadhi ya abiria kukwama kusafiri kutokana na kukosa usafiri kwa kile kinachoarifiwa kwamba ni uchache wa magari huku wasafiri wakiwa ni wengi.

No comments