Tupashane Habari 24-hours

Tupashane Habari 24-hours

Breaking News

kampa kampa tena

List ya viwanja 10 vya ndege ambavyo ni vya gharama zaidi duniani…(Pichaz)

Wakati Tanzania ikipambana kukamilisha upanuzi wa ujenzi wa uwanja wa ndege ambao utakuwa bora zaidi na kuziwezesha ndege kubwa zaidi duniani kuweza kutua kwa wingi..hapa nimekuwekea list ya viwanja 10 ambavyo vimejengwa kwa gharama zaidi duniani.
Hii ndiyo list kamili…
11
1. Kansai International Airport –Japan: kimetumia dola bilioni 20 kujengwa

22
2. Hong Kong International Airport – China, kimetumia dola bilioni 20 kujengwa

33
3. Al Maktoum International Airport – Dubai: Kimetumia kiasi cha dola bilioni 12 kujengwa

44
4. London Heathrow Airport – Uingereza: Kimetumia dola bilioni 10.5 kujengwa

55
5. Beijing Capital International Airport –China: kimetumia dola bilioni 8 kujengwa

66
6. Dubai International Airport –Kimetumia dola bilioni 6 kujengwa

77
7. Berlin Brandenburg Airport – Ujerumani: Kimetumia kiasi cha dola Bilioni 5.5 billion

88
8. Denver International Airport – USA: Kimetumia kiasi cha dola bilioni 4.8 kujengwa

MALASIA
9. Kuala Lumpur International Airport – Malaysia: Kimetumia dola bilioni 3.5 kujengwa

DALAS
10. Dallas-Fort Worth International Airport – Texas, Marekani: kimetumia kiasi cha dola bilioni 3.2 

Source: Millard Ayo

No comments