Jina la José Mourinho ni miongoni mwa majina yenye ushawishi mkubwa
sana kwa upande wa soka duniania..amekua kocha mwenye mafanikio makubwa
katika timu mbalimbali alizowahi kufundisha ikiwemo Chelsea ambayo
anaifundisha kwa sasa na ikiwa imechukua ubingwa wa EPL.
Mourinho pamoja na muda wake mwingi kuutumia katika soka lakini pia
ni baba wa watoto wawili na muda mwingine anaoupata huutumia na familia
yake…
Mourhino akiwa na mke wake Matilde
Akiwa na familia yake
Aliingia kwenye kashfa ya kuwa na uhusiano na msichana kutoka Kenya ,Lelesit Silvana baada ya kutembelea nchi hiyo 2010
source: Millard Ayo
Haya ni Maisha mengine ya kocha Jose Mourinho nje ya soka…
Reviewed by
Unknown
on
2:03 AM
Rating:
5
No comments