Wanajeshi 8 wa Uturuki wauawa
Wanajeshi wanane wa Uturuki wameuawa kwenye shambulizi la bomu la kutegwa kando ya barabara kusini mashariki mwa nchi.
Wanajeshi 8 wa Uturuki wauawa
Shambulizi hilo linafanyika wakati kuna ghasia kati ya PKK na wanajeshi wa Uturuki. Watu kadha wameuawa tangu usitishwaji wa mapigano wa miaka miwili uvunjike mwezi Julai.
No comments