Tupashane Habari 24-hours

Tupashane Habari 24-hours

Breaking News

kampa kampa tena

MAMIA JIMBO LA MTAMA WAHAMA CCM

‪#‎Habari‬:Aliyekuwa mgombea wa kura za maoni kupitia chama cha mapinduzi jimbo la mtama SELEMANI METHEW amekihama chama hicho na kuondoka na wana CCM wapatao miasaba na 4 na kuhamia chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA kwa kile anachodai hakutendewa haki katika mchakato mzima wa kura za maoni.

No comments