Tupashane Habari 24-hours

Tupashane Habari 24-hours

Breaking News

kampa kampa tena

Shambulio la Bomu Nigeria:Watu 13 wafa



                                   Jeshi la Chad lilianzisha Operesheni dhidi ya Boko Haram.


Watu 13 wamepoteza maisha kwa shambulio la kujitoa muhanga mjini Potiskum, kaskazini mashariki mwa Nigeria.

Mfanyakazi mmoja wa kituo cha basi cha Dan-Borno ameiambia BBC kuwa aliyejitoa muhanga alisubiri mpaka basi hilo linalobeba Watu 18 kujaa kabla ya yeye kuingia kwenye basi hilo.
Shuhuda huyo amesema basi liliharibiwa vibaya na moto na mengine ya jirani kuharibiwa.
Siku ya jumapili, mji huo ulishambuliwa na Msichana mmoja aliyejitoa muhanga.

No comments