Tupashane Habari 24-hours

Tupashane Habari 24-hours

Breaking News

kampa kampa tena

MANUEL PELLEGRINI AICHEZEA AKILI LIVERPOOL,ANASEMA MAN CITY WANAWEZA KUSHINDA TAJI,LAKINI NINI KINAENDELEA JUU YA SAMIR NASRI ?)

Manuel Pellegrini alifanya moja ya jaribio la mwisho kwa kuiweka njia panda kwa pressure timu
ya Liverpool kwa kudai kuwa Liverpool wamepoteza uongozi wa ligi kuu.
Meneja huyo wa Manchester City pia alisisitiza wachezaji wake - ikiwa ni pamoja na Samir Nasri, ambaye alipatiwa tiba kidogo ya kawaida katika uwanja wa mazoezi wa Carrington -kuwa wanaamini bado wanaweza kubadili matokeo na kuitoa Liverpool katika uongozi wa ligi kuu.
 
 Nini kinaendelea hapa? Samir Nasri anapata matibabu katika uwanja wa Carrington huku Manuel Pellegrini akimuangalia.
 
 City imeonekana kukosa nafasi baada ya kupoteza katika uwanja wa Anfield na kufuatia kuwa na matokeo ya mshtuko kwa kutoka sare ya nyumbani dhidi ya Sunderland, lakini Pellegrini anasisitiza bado yuko katika mawindo.
 
 

No comments