BREAKING: Waziri wa elimu kasimamisha kazi watu wanne bodi ya mikopo Tanzania
Ni habari kutoka kwa Waziri wa elimu Profesa Joyce Ndalichako ambaye leo February 16
amemsimamisha kazi mkurugenzi mtendaji wa bodi ya mikopo kuanzia leo na
kuwasimamisha pia Wakurugenzi wengine watatu kutoka bodi ya mikopo.
Yote hii imetokana na ukaguzi maalum uliofanyika katika bodi hiyo na kugundua mapungufu makubwa kwenye usimamizi wa fedha kwenye bodi hiyo.
Yote hii imetokana na ukaguzi maalum uliofanyika katika bodi hiyo na kugundua mapungufu makubwa kwenye usimamizi wa fedha kwenye bodi hiyo.
No comments