Tupashane Habari 24-hours

Tupashane Habari 24-hours

Breaking News

kampa kampa tena

JK amuaga Captain Komba

Leo nchini Tanzania Rais wa nchi hiyo Jakaya Kikwete atawaongoza waombolezaji kuaga mwili wa aliyekuwa mbunge wa Bunge la jamhuri ya muungano Tanzania Captain John Komba aliyefariki ghafla jumamosi jijini Dar es salaam.
Mwili wa Marehemu utasafirishwa kwenda Wilaya ya Mbinga mkoa wa Ruvuma kusini mwa Tanzania.
Mbali ya kuwa mwanasiasa alikuwa pia msanii maarufu mwimbaji akioongoza kikundi cha muziki cha Tanzania One Theater.
Mwandishi wetu Arnold Kayanda amefika nyumbani kwa marehemu katika eneo la Mbezi Beach jijini Dar es Salaam na hii ni taarifa yake.

No comments