Tupashane Habari 24-hours

Tupashane Habari 24-hours

Breaking News

kampa kampa tena

Picha 8 za Mwanzo kwenye Baraza kuu la Chadema Mwanza…

Leo march 12 2016 Baraza kuu la Chadema linafanya mkutano wa kumpata Katibu Mkuu wa Chadema Mwanza kwenye vikao vya ndani pamoja na kujadili masuala ya Chama, hapa nimezipata picha za mwanzo kwenye tukio.
Image00008
Image00010
Aliyekuwa Mgombea Urais Edward Lowassa akienda kuchukua nafasi
Image00007
Viongozi wa kitaifa Chadema wakiingia ukumbini
Image00003
Naibu Katibu wa Chadema Salum Mwalimu na Ezekia Wenje
Image00006
Image00014
Aliyekuwa Mgombea Urais Chadema Edward Lowassa na Baraza lake
Image00002
Image00005
Mbunge wa Mikumi Joseph Haule na watu wake
Image00009
Source Millard Ayo

No comments