Picha 8 za Mwanzo kwenye Baraza kuu la Chadema Mwanza…
Leo march 12 2016 Baraza kuu la Chadema linafanya mkutano wa kumpata Katibu Mkuu wa Chadema Mwanza kwenye vikao vya ndani pamoja na kujadili masuala ya Chama, hapa nimezipata picha za mwanzo kwenye tukio.
No comments