Tupashane Habari 24-hours

Tupashane Habari 24-hours

Breaking News

kampa kampa tena

Kama ulikuwa unajua soka la wanawake limetupwa, TFF wamefikia hapa Feb 23 2016

Shirikisho la soka Tanzania TFF February 23 limefanya mkutano na waandishi wa habari na kutangaza kuingia mkataba na Karibu Tanzania Association kwa ajili ya maendeleo ya soka la wanawake ambalo kwa kiasi kikubwa limeonekana kuwa nyuma kwa upande wa Tanzania.
DSC_0073
Rais wa TFF Jamal Malinzi na Mia walipokuwa wakiongea mbele ya waandishi wa habari
Mkutano huo ambao ulihudhuriwa na Rais wa TFF Jamal Malinzi na katibu mkuu wa TFF Selestine Mwesigwa wameingia makubaliano na katibu wa TFF Selestine Mwesigwa kusaini mkataba na kusaini mkataba na Mia Mjengwa ambae ni mshauri wa Karibu Tanzania Association.
DSC_0084
Katibu Mkuu wa TFF Selestine Mwesigwa akisaini mkataba
Mkataba huo ni endelevu na mafunzo ya soka yataanza kutolewa kwa shule za kijamii. Baada ya kumalizika kwa mkutano huo Rais wa TFF Jamal Malinzi aliomba watu kuwa watulivu na kusubiri hadi March 30 ndio kesi ya tuhuma za upangaji wa matokeo kwa michezo ya mwisho ya mechi za Ligi daraja la kwanza itasikilizwa.
DSC_0081
Mshauri wa KTA Mia Mjengwa akisaini mkataba

No comments