Jaji wa korti ya juu Kenya asimamishwa kazi
Rais Uhuru Kenyatta
amemsimamisha kazi jaji wa mahakama ya juu aliyetuhumiwa kuchukua hongo
katika kesi kuhusu kuchaguliwa kwa gavana wa Nairobi.
Jaji adaiwa kupokea rushwa ya $2m KenyaJopo la kumchunguza jaji huyo litaongozwa na Jaji Sharad Rao ambaye ndiye mwenyekiti wa Bodi ya Kuwachunguza Majaji na Mahakimu.

Jaji Tunoi amekanusha madai dhidi yake.
No comments