Tupashane Habari 24-hours

Tupashane Habari 24-hours

Breaking News

kampa kampa tena

Pichaz za Simba walivyojiandaa kuikabili Mbeya City Jumamosi hii

Weekend hii Ligi Kuu soka Tanzania bara inaendelea kwa michezo kadhaa kupigwa katika viwanja tofauti tofauti, miongoni mwa michezo ambayo inatazamiwa kuwa na ushindani mkubwa ni mchezo kati ya Mbeya City dhidi ya Simba, mechi ambayo itapigwa katika uwanja wa Sokoine jijini Mbeya.
IMG_4179
Wachezaji wa Simba wakiwa pamoja mazoezini
Naomba nikusogezee picha za mazoezi ya Simba wakiwa jijini Mbeya kwa ajili ya maandalizi ya mchezo huo. Simba wakiwa na kocha wao muingereza Dylan Kerr na msaidizi wake Selemani Matola wameendelea na mazoezi ya kukinoa kikosi chao kuelekea mchezo huo utakaochezwa Jumamosi ya October 17 uwanja wa Sokoine Mbeya.
IMG_4175
Kocha wa Simba Dylan Kerr akimfanyisha mazoezi mchezaji wake
IMG_4162
Hamis Kiiza akifanya mazoezi ya viungo
IMG_4143
Kocha wa Simba Dylan Kerr akiongoza mazoezi kwa wachezaji wake
IMG_4122
Kocha msaidizi wa Simba Selemani Matola akiwa na mkuu wake Dyalan Kerr wakijadiliana jambo
source: Millard Ayo

No comments