Tupashane Habari 24-hours

Tupashane Habari 24-hours

Breaking News

kampa kampa tena

Chelsea 0-0 Norwich, mwaka huu sio wa mataji kwao

Baada ya kuchezea kichapo cha nguvu dhidi ya A.madrid katika nusu fainali ya uefa leo chelsea imedhihilisha wazi kuwa msimu huu sio wa kuchukua mataji kama kocha wao alivyosema siku za nyuma mara baada ya kutoka sare tasa na norwich siku ya leo katika uwanja wao wa nyumbani.

Chelsea 0-0 Norwich

No comments